Font Size
Luka 16:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
22 “Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. 23 Alipokuwa kuzimuni ambapo alikuwa akiteseka, alita zama juu, akamwona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro karibu yake. 24 Akaita, ‘Baba Ibrahimu, nionee huruma umtume Lazaro achovye japo ncha ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu maana ninateseka kwenye moto huu.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica