Font Size
Luka 16:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.’ 29 Ibrahimu akamjibu, ‘Ndugu zako wanazo sheria za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii hayo.’ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi, 30 ‘Hapana baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao watatubu na kuziacha dhambi zao.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica