Font Size
Luka 17:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Dhambi na Msamaha
(Mt 18:6-7,21-22; Mk 9:42)
17 Yesu akawaambia wafuasi wake, “Mambo yanayosababisha watu kutenda dhambi yatatokea hakika. Lakini ole wake mtu anayesababisha hili litokee. 2 Ingekuwa vizuri kwa mtu huyo kama jiwe la kusagia lingefungwa shingoni mwake, na akatupwa baharini, kuliko kusababisha mmojawapo wa wanyenyekevu hawa kutenda dhambi. 3 Hivyo iweni waangalifu!
Ikiwa ndugu au dada yako katika familia ya Mungu akikukosea, umwonye. Akitubu, msamehe.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International