Font Size
Luka 17:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Atakasa Wakoma Kumi
11 Yesu alipokuwa akienda Yerusalemu alipitia kati ya Samaria na Galilaya. 12 Alipokuwa akikaribia kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma walikutana naye. 13 Wakasimama mbali wakaita kwa nguvu, “Yesu! Bwana! tuonee huruma!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica