Font Size
Luka 17:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
13 Lakini watu wale wakaita kwa kupaza sauti wakisema, “Yesu! Mkuu! Tafadhali utusaidie!”
14 Yesu alipowaona, akasema, “Nendeni mkajioneshe kwa makuhani.”[a]
Wale watu kumi walipokuwa wanakwenda kujionesha kwa makuhani, waliponywa. 15 Mmoja wao alipoona kuwa amepona, alirudi kwa Yesu huku akimsifu Mungu kwa kupaza sauti.
Read full chapterFootnotes
- 17:14 mkajioneshe kwa makuhani Sheria ya Musa ilisema kwamba, kuhani ndiye anayeamua ikiwa mtu mwenye ukoma amepona ukoma wake.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International