Font Size
Luka 17:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
15 Mmoja wao alipoona kwamba ame pona, akarudi kwa Yesu akimsifu Mungu kwa sauti kuu. 16 Kwa heshima kubwa akajitupa miguuni kwa Yesu akamshukuru. Yeye ali kuwa ni Msamaria .
17 Yesu akauliza, “Hawakuponywa wote kumi? Wako wapi wale tisa wengine?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica