Font Size
Luka 17:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
15 Mmoja wao alipoona kuwa amepona, alirudi kwa Yesu huku akimsifu Mungu kwa kupaza sauti. 16 Akaanguka kifudifudi miguuni pa Yesu, akamshukuru. (Alikuwa Msamaria.) 17 Yesu akasema, “Watu kumi wameponywa, wengine tisa wako wapi?
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International