Font Size
Luka 17:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 Kwa heshima kubwa akajitupa miguuni kwa Yesu akamshukuru. Yeye ali kuwa ni Msamaria .
17 Yesu akauliza, “Hawakuponywa wote kumi? Wako wapi wale tisa wengine? 18 Hakuna hata mmoja aliyekumbuka kurudi kumsifu Mungu isipokuwa huyu mgeni?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica