Font Size
Luka 17:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Mtu huyu wala si mmoja wa watu wetu. Ni yeye peke yake aliyerudi kumsifu Mungu?” 19 Ndipo Yesu akamwambia, “Inuka! Unaweza kwenda. Umeponywa kwa sababu uliamini.”
Kuja Kwa Ufalme Wa Mungu
(Mt 24:23-28,37-41)
20 Baadhi ya Mafarisayo walimuuliza Yesu, “Ufalme wa Mungu utakuja lini?” Yesu akajibu, “Kuja kwa ufalme wa Mungu si kitu unachoweza kuona.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International