Font Size
Luka 17:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Ingekuwa nafuu kama mtu huyo angefungiwa jiwe zito shingoni na kuzamishwa baharini kuliko kumfanya mmoja wa hawa wadogo atende dhambi. 3 Kwa hiyo, jihadharini. Ndugu yako akikukosea mwonye; akiomba msamaha, msamehe. 4 Hata kama akikuko sea mara saba kwa siku na kila mara aje kwako akisema, ‘Nisa mehe
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica