Font Size
Luka 17:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Siku moja, Mafarisayo walipomwuliza Yesu Ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi: “Ufalme wa Mungu hauji kwa kuone kana, 21 wala watu hawatasema, ‘Huu hapa’ au ‘Ule kule’ kwa maana Ufalme wa Mungu umo ndani yenu.”
22 Kisha akawaambia wanafunzi wake, “Wakati utafika ambapo mtatamani kuiona siku yangu moja, mimi Mwana wa Adamu lakini ham taiona.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica