Add parallel Print Page Options

Hivyo iweni waangalifu!

Ikiwa ndugu au dada yako katika familia ya Mungu akikukosea, umwonye. Akitubu, msamehe. Hata kama akikukosea mara saba katika siku moja, lakini akakuomba msamaha kila anapokukosea, msamehe.”

Imani Yako Ni Kubwa Kiasi Gani?

Kisha mitume wakamwambia Bwana, “Tuongezee imani.”

Read full chapter