Font Size
Luka 17:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
30 Hivi ndivyo itakavyokuwa siku ambayo Mwana wa Adamu atarudi.
31 Siku hiyo, ikiwa mtu atakuwa juu ya paa ya nyumba yake, hatakuwa na muda wa kushuka kwenda ndani ya nyumba kuchukua vitu vyake. Ikiwa atakuwa shambani, hataweza kurudi nyumbani. 32 Kumbukeni yaliyompata mke wa Lutu![a]
Read full chapterFootnotes
- 17:32 mke wa Lutu Simulizi kuhusu mke wa Lutu inapatikana katika Mwa 19:15-17,26.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International