Font Size
Luka 17:35-37
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:35-37
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
35 Wanawake wawili watakuwa wanasaga nafaka pamoja, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.” 36 [a]
37 Wafuasi wake wakamuuliza, “Hii itakuwa wapi Bwana?”
Yesu akajibu, “Ni kama kuutafuta mzoga, utaupata pale ambapo tai wamekusanyika.”
Read full chapterFootnotes
- 17:36 Nakala chache za Kiyunani zimeongeza mstari wa 36: “Watu wawili watakuwa shambani, mmoja atachukuliwa, mwingine ataachwa.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International