Font Size
Luka 17:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Hata kama akikukosea mara saba katika siku moja, lakini akakuomba msamaha kila anapokukosea, msamehe.”
Imani Yako Ni Kubwa Kiasi Gani?
5 Kisha mitume wakamwambia Bwana, “Tuongezee imani.”
6 Bwana akasema, “Imani yenu ingekuwa kubwa kama mbegu ya haradali, mngeuambia mforosadi huu, ‘Ng'oka, ukajipandikize baharini,’ nao ungewatii.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International