Font Size
Luka 17:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Wanafunzi wakamwambia Bwana, “Tuzidishie imani.” 6 Aka waambia, “Kama mngekuwa na imani kiasi cha punje ndogo sana ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu, ‘Ng’oka na mizizi yote ukaote baharini,’ nao ungewatii!”
Wajibu Wa Mtumishi
7 “Tuseme mmoja wenu ana mtumishi aliyekwenda shambani kulima au kuchunga kondoo. Je, mtumishi huyo akirudi utamwambia, ‘Karibu keti ule chakula’?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica