Font Size
Luka 18:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 18:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Watu wawili walikwenda hekaluni kusali, mmoja wao alikuwa Farisayo na mwingine alikuwa mtoza ushuru. 11 yule Farisayo alisimama akasali kimoyomoyo. ‘Ninakushukuru Mungu kwa sababu mimi si kama watu wengine: wany ang’anyi, wadhalimu, wazinzi, au kama huyu mtoza ushuru. 12 Mimi nafunga mara mbili kwa juma na kutoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica