Font Size
Luka 18:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 18:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Na Mungu je, hatawatendea haki watu wake wanaomlilia mchana na usiku? Je, atakawia kuwapa msaada? 8 Nina waambieni atahakikisha amewatendea haki upesi. Lakini je, mimi Mwana wa Adamu nitakaporudi duniani nitakuta watu wanadumu katika imani?”
Mfano Wa Farisayo Na Mtoza Ushuru
9 Yesu alitoa mfano huu kwa ajili ya wale waliojiona kuwa wao ni wenye haki na kuwadharau wengine.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica