Font Size
Luka 18:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 18:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Mfano Wa Farisayo Na Mtoza Ushuru
9 Yesu alitoa mfano huu kwa ajili ya wale waliojiona kuwa wao ni wenye haki na kuwadharau wengine. 10 Watu wawili walikwenda hekaluni kusali, mmoja wao alikuwa Farisayo na mwingine alikuwa mtoza ushuru. 11 yule Farisayo alisimama akasali kimoyomoyo. ‘Ninakushukuru Mungu kwa sababu mimi si kama watu wengine: wany ang’anyi, wadhalimu, wazinzi, au kama huyu mtoza ushuru.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica