Font Size
Luka 19:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Aingia Yerusalemu
28 Alipokwisha kusema haya, Yesu alikaa mbele ya msafara akielekea Yerusalemu. 29 Na alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima wa Mizeituni aliwatuma wanafunzi wawili akawaagiza hivi, 30 “Nendeni katika kijiji kile kilicho mbele yenu. Mtaka pokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana-punda ambaye hajapandwa na mtu bado, amefungwa. Mfungueni, mumlete hapa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica