Font Size
Luka 19:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
29 Na alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima wa Mizeituni aliwatuma wanafunzi wawili akawaagiza hivi, 30 “Nendeni katika kijiji kile kilicho mbele yenu. Mtaka pokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana-punda ambaye hajapandwa na mtu bado, amefungwa. Mfungueni, mumlete hapa. 31 Kama mtu akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.”’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica