Font Size
Luka 19:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
30 “Nendeni katika kijiji kile kilicho mbele yenu. Mtaka pokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana-punda ambaye hajapandwa na mtu bado, amefungwa. Mfungueni, mumlete hapa. 31 Kama mtu akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.”’
32 Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama Yesu alivyokuwa amewaambia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica