Font Size
Luka 19:32-34
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:32-34
Neno: Bibilia Takatifu
32 Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama Yesu alivyokuwa amewaambia. 33 Walipokuwa wanamfungua yule mwana- punda wenyewe wakawauliza, “Mbona mnamfungua huyo mwana-punda?” 34 Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica