Font Size
Luka 19:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 19:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
34 Wafuasi wakajibu, “Bwana anamhitaji.” 35 Hivyo wafuasi wakampeleka punda kwa Yesu. Wakatandika baadhi ya nguo zao juu ya mwanapunda, kisha wakampandisha Yesu juu yake. 36 Yesu akaanza kwenda Yerusalemu. Wafuasi walikuwa wanatandaza nguo zao njiani mbele yake.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International