Font Size
Luka 19:35-37
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:35-37
Neno: Bibilia Takatifu
35 Wakamleta kwa Yesu. Wakatandika mavazi yao juu ya huyo mwana-punda, kisha wakampandisha Yesu juu yake. 36 Alipokuwa akienda, watu wakatan daza nguo zao barabarani. 37 Alipokaribia mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote wa wanafunzi wake wakaanza kwa sauti kuu kumsifu Mungu kwa furaha kwa ajili ya miujiza yote waliyoiona Yesu akifanya,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica