Font Size
Luka 19:38-40
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:38-40
Neno: Bibilia Takatifu
38 wakasema: “Amebarikiwa Mfalme anayekuja kwa jina la Bwana! Amani mbinguni na Utukufu kwa Mungu.” 39 Baadhi ya Mafarisayo waliokuwemo katika umati wakamwambia, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako.” 40 Yesu akawajibu, “Nawaambia, hawa wakinyamaza, mawe yatapiga kelele.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica