Font Size
Luka 19:38-40
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 19:38-40
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
38 Walisema,
“Karibu! Mungu ambariki mfalme
ajaye kwa jina la Bwana!(A)
Amani iwe mbinguni,
na utukufu kwa Mungu!”
39 Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa katika kundi wakamwambia Yesu, “Mwalimu, waambie wafuasi wako wasiseme mambo haya!”
40 Lakini Yesu akawajibu, “Ninawaambia ikiwa wafuasi wangu wasingesema, mawe haya yangesema kwa kupaza sauti!”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International