Font Size
Luka 19:41-43
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 19:41-43
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Aulilia Mji wa Yerusalemu
41 Yesu alipoukaribia mji wa Yerusalemu, akautazama kisha akaanza kuulilia, 42 akisema, “Laiti ungelijua leo kile kinachokuletea amani. Lakini kimefichwa kwako usikijue sasa. 43 Wakati unakuja, ambao adui zako watajenga ukuta kukuzunguka na kukuzingira pande zote.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International