Font Size
Luka 19:42-44
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:42-44
Neno: Bibilia Takatifu
42 akasema, “Laiti ungalijua leo jinsi ya kupata amani! Lakini sasa huoni! 43 Kuna siku ambapo maadui zako watakuzungushia ukuta na kukuzingira na kukushambulia kutoka kila upande. 44 Watakutupa chini wewe na wanao ndani ya kuta zako na hawataacha hata jiwe moja juu ya jingine. Hii ni kwa sababu hukutaka kutambua wakati
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica