Font Size
Luka 19:45-47
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:45-47
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Aingia Hekaluni
45 Ndipo akaingia Hekaluni akaanza kuwafukuza wale wal iokuwa wakifanya biashara humo. 46 Akawaambia, “Imeandikwa katika Maandiko, ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala.’ Lakini ninyi mmeigeuza kuwa pango la wanyang’anyi.”
47 Kila siku alikuwa akifundisha Hekaluni. Makuhani wakuu na walimu wa sheria wakiungwa mkono na viongozi wengine walijaribu kila njia wapate kumwua
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica