Font Size
Luka 2:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 2:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Na hivi ndivyo mtakavyomtambua: mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa vinguo na kulazwa horini.”
13 Mara jeshi kubwa la malaika wa mbinguni likatokea na pamoja wakamsifu Mungu wakiimba: 14 “Atukuzwe Mungu juu mbin guni, na duniani iwepo amani kwa watu ambao amependezwa nao.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica