Font Size
Luka 2:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 2:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Mara jeshi kubwa la malaika wa mbinguni likatokea na pamoja wakamsifu Mungu wakiimba: 14 “Atukuzwe Mungu juu mbin guni, na duniani iwepo amani kwa watu ambao amependezwa nao.”
15 Malaika hao waliporudi mbinguni wale wachungaji walish auriana: “Jamani, twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya ya ajabu yaliyotokea, ambayo Bwana ametufahamisha.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica