Font Size
Luka 20:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Wakati wa mavuno akamtuma mtumishi kwa hao wakulima aliowakodisha shamba ili wampatie sehemu ya mavuno. Lakini wale wakulima wakampiga na kumfukuza mikono mitupu. 11 Akamtuma mtumishi mwingine; naye pia wakam piga, wakamfanyia mambo ya aibu na kumfukuza. 12 Akampeleka wa tatu; wakamjeruhi na kumtupa nje ya shamba.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica