Font Size
Luka 20:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Akamtuma mtumishi mwingine; naye pia wakam piga, wakamfanyia mambo ya aibu na kumfukuza. 12 Akampeleka wa tatu; wakamjeruhi na kumtupa nje ya shamba.
13 “Basi yule mwenye shamba la mizabibu akasema, ‘Nifanye nini? Nitamtuma mwanangu nimpendaye, bila shaka yeye watamhesh imu.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica