Font Size
Luka 20:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 “Basi yule mwenye shamba la mizabibu akasema, ‘Nifanye nini? Nitamtuma mwanangu nimpendaye, bila shaka yeye watamhesh imu.’ 14 Lakini wale wakulima walipomwona, wakashauriana, ‘Huyu ndiye mrithi, hebu tumwue ili sisi turithi hili shamba.’ 15 Kwa hiyo wakamtoa nje ya shamba, wakamwua.” Ndipo Yesu akauliza, “Sasa yule mwenye shamba atawafanyia nini wakulima hawa?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica