Font Size
Luka 20:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Akawajibu, “Na mimi nitawauliza swali. 4 Je, mamlaka ya Yohana ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa wanadamu? ” 5 Wakaanza kubishana wao kwa wao wakisema, “Tukisema, ‘Kwa Mungu’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica