Font Size
Luka 20:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Je, mamlaka ya Yohana ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa wanadamu? ” 5 Wakaanza kubishana wao kwa wao wakisema, “Tukisema, ‘Kwa Mungu’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’ 6 Na tukisema ‘Kwa wana damu,’ watu wote watatupiga mawe kwa sababu wanaamini kabisa kwamba Yohana alikuwa nabii.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica