Font Size
Luka 20:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Wakaanza kubishana wao kwa wao wakisema, “Tukisema, ‘Kwa Mungu’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’ 6 Na tukisema ‘Kwa wana damu,’ watu wote watatupiga mawe kwa sababu wanaamini kabisa kwamba Yohana alikuwa nabii.” 7 Basi wakajibu, “Hatujui mamlaka yake yalitoka wapi.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica