Font Size
Luka 20:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 20:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Lakini kama tukisema ulitoka kwa watu fulani, watu hawa watatupiga kwa mawe mpaka tufe. Kwa sababu wote wanaamini Yohana alikuwa nabii.” 7 Hivyo wakajibu, “Hatujui.”
8 Ndipo Yesu akawaambia, “Hata mimi sitawaambia ni nani alinipa mamlaka kufanya mambo haya.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International