Font Size
Luka 20:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Basi wakajibu, “Hatujui mamlaka yake yalitoka wapi.” 8 Yesu akawaambia, “Na mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.’ ’
Mfano Wa Shamba La Mizabibu Na Wakulima
9 Akaendelea kuwaambia watu mfano huu: “Mtu mmoja alipanda mizabibu katika shamba lake, akalikodisha kwa wakulima fulani, kisha akasafiri kwa muda mrefu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica