Font Size
Luka 22:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 22:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
28 Na ninyi ndiyo mliobaki pamoja nami katika mahangaiko mengi. 29 Hivyo ninawapa mamlaka kutawala pamoja nami katika ufalme ambao Baba yangu amenipa. 30 Mtakula na kunywa mezani pangu katika ufalme huo. Mtakaa katika viti vya enzi na kuwahukumu makabila kumi na mbili ya Israeli.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International