Font Size
Luka 22:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 22:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
29 na kama Baba yangu alivyonipa mamlaka ya kutawala; mimi nami nina wapa ninyi mamlaka hayo hayo. 30 Mtakula na kunywa katika karamu ya Ufalme wangu na kukaa katika viti vya enzi mkitawala makabila kumi na mawili ya Israeli.”
Yesu Atabiri Kuwa Petro Atamkana
31 Yesu akasema, “Simoni, Simoni, sikiliza, shetani ameomba ruhusa kwa Mungu awapepete ninyi kama ngano.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica