Font Size
Luka 22:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 22:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
29 Hivyo ninawapa mamlaka kutawala pamoja nami katika ufalme ambao Baba yangu amenipa. 30 Mtakula na kunywa mezani pangu katika ufalme huo. Mtakaa katika viti vya enzi na kuwahukumu makabila kumi na mbili ya Israeli.
Petro Atajaribiwa na Kushindwa
(Mt 26:31-35; Mk 14:27-31; Yh 13:36-38)
31 Shetani ameomba ili awapepete kwa nguvu kama mkulima anavyopepeta ngano kwenye ungo ili mwanguke. Simoni, Simoni,[a]
Read full chapterFootnotes
- 22:31 Simoni Jina jingine la Simoni lilikuwa Petro.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International