Font Size
Luka 22:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 22:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
30 Mtakula na kunywa katika karamu ya Ufalme wangu na kukaa katika viti vya enzi mkitawala makabila kumi na mawili ya Israeli.”
Yesu Atabiri Kuwa Petro Atamkana
31 Yesu akasema, “Simoni, Simoni, sikiliza, shetani ameomba ruhusa kwa Mungu awapepete ninyi kama ngano. 32 Lakini nimekuombea wewe ili imani yako isipotee. Na utakaponirudia mimi, uwatie moyo ndugu zako.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica