Font Size
Luka 22:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 22:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
30 Mtakula na kunywa mezani pangu katika ufalme huo. Mtakaa katika viti vya enzi na kuwahukumu makabila kumi na mbili ya Israeli.
Petro Atajaribiwa na Kushindwa
(Mt 26:31-35; Mk 14:27-31; Yh 13:36-38)
31 Shetani ameomba ili awapepete kwa nguvu kama mkulima anavyopepeta ngano kwenye ungo ili mwanguke. Simoni, Simoni,[a] 32 nimekuombea ili usipoteze imani yako! Wasaidie ndugu zako kuwa imara utakaponirudia.”
Read full chapterFootnotes
- 22:31 Simoni Jina jingine la Simoni lilikuwa Petro.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International