Font Size
Luka 22:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 22:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Atabiri Kuwa Petro Atamkana
31 Yesu akasema, “Simoni, Simoni, sikiliza, shetani ameomba ruhusa kwa Mungu awapepete ninyi kama ngano. 32 Lakini nimekuombea wewe ili imani yako isipotee. Na utakaponirudia mimi, uwatie moyo ndugu zako.”
33 Petro akajibu, “Bwana, niko tayari kwenda nawe gerezani na hata kufa.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica