Font Size
Luka 22:31-33
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 22:31-33
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Petro Atajaribiwa na Kushindwa
(Mt 26:31-35; Mk 14:27-31; Yh 13:36-38)
31 Shetani ameomba ili awapepete kwa nguvu kama mkulima anavyopepeta ngano kwenye ungo ili mwanguke. Simoni, Simoni,[a] 32 nimekuombea ili usipoteze imani yako! Wasaidie ndugu zako kuwa imara utakaponirudia.”
33 Lakini Petro akamwambia Yesu, “Bwana, niko tayari kufungwa gerezani pamoja nawe. Hata kufa pamoja nawe!”
Read full chapterFootnotes
- 22:31 Simoni Jina jingine la Simoni lilikuwa Petro.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International