Add parallel Print Page Options

36 Yesu akawaambia, “Lakini sasa kama una pesa au mkoba, uchukue pamoja nawe. Kama huna upanga, uza koti lako ukanunue. 37 Maandiko yanasema, ‘Alidhaniwa kuwa mhalifu.’(A) Maandiko haya lazima yatimizwe. Yaliyoandikwa kuhusu mimi yanatimilika sasa.”

38 Wafuasi wakasema, “Tazama Bwana, hapa kuna panga mbili.”

Yesu akawaambia, “Nyamazeni, acheni mazungumzo ya namna hiyo!”

Read full chapter