Font Size
Luka 22:44-46
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 22:44-46
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
44 Yesu aliomba kwa nguvu zaidi na kustahimili zaidi kama mpiganaji wa mieleka akiwa katika mapambano makali. Jasho kama matone ya damu likadondoka kutoka kwenye uso wake.[a] 45 Alipomaliza kuomba, alikwenda kwa wafuasi wake. Akawakuta wamelala, wamechoka kwa sababu ya huzuni. 46 Yesu akawaambia, “Kwa nini mnalala? Amkeni, ombeni mtiwe nguvu msije mkajaribiwa.”
Read full chapterFootnotes
- 22:44 Nakala zingine za Kiyunani hazina mstari wa 43 na 44.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International