Font Size
Luka 22:49-51
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 22:49-51
Neno: Bibilia Takatifu
49 Wafuasi wa Yesu walipoona yanayotokea, wakasema, “Bwana, tutumie mapanga yetu?” 50 Na mmoja wao akampiga mtum ishi wa kuhani mkuu kwa panga, akamkata sikio la kulia. 51 Lakini Yesu akasema, “Acheni!” Akaligusa sikio la yule mtu, akamponya.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica